MESSI KUELEKEA INTER MIAMI


 Mchezaji nyota wa timu ya taifa ya Argentina Lionel Messi, anatarajiwa kuondoka timu ya Kifaransa, Paris Saint German (PSG) na kujiunga na Inter Miami timu ya Kimarekani.

Ni baada ya kukataa offa kubwa iliyotolewa na timu ya kisaudi Al-hilal

Dili lililotolewa na Timu hiyo ni pamoja na kushirikiana pamoja na brand kubwa kama Adidas na Apple


Chanzo: BBC Sport